Mganga mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya ya Ileje Kushoto mganga mkuu wakati mkuu wa wilaya ya Ileje Bi, Rosemery Senyamule Mkuu wa wilaya Bi, Rosemery akikata utepe na kufungua rasmi uzinduzi huo. Mkuu wa wilaya akianza kuwapatia chanjo watoto katika … Read more »
WANAWAKE 40 WATEKWA NYARA ITURI MASHARIKI YA DRC
Walinda amani wa Umoja wa Mataifa wakiorodhesha silaha walizopokea kutoka kwa wapiganaji wa kundi la Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR) , May 30, 20 Wanawake wasiopunguwa 40 wanaripotiwa wametekwa nyara katika Wilaya ya Mambassa, … Read more »
SERIKALI MKOANI MBEYA YATARAJIA KUFANYA KAMPENI YA CHANJO KWA WATOTO WENYE UMRI KATI YA MIEZI TISA MPAKA MIAKA KUMI NA TANO KWA MUDA WA WIKI MOJA
Mkuu wa wilaya ya mbeya mjini Dk Norman Sigala akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kampeni hiyo katika ofisi za mkuu wa mkua wa mbeya Mh, mbeya. Baadhi ya waandishi wa habari mkoani mbeya wakimsikiliza mkuu wa wilaya Dk Norman Sigala. Mratibu … Read more »
SERIKALI YATANGAZA VITA DHIDI YA WAWINDAJI HARAMU KATIKA HIFADHI ZA TAIFA.
Waziri wa maliasili na utalii Mh, Lazaro Nyalandu akizunguza na waandishi wa habari. Waandishi wa habari wakimsikiliza waziri wa maliasili na utalii akiongea jambo. Baadhi wa waandishi wa habari wakipiga picha na waziri wa maliasili na utalii nje ya… Read more »