HALMASHAURI ya Busokelo, wilayani Rungwe mkoani Mbeya imesaini mkataba wa ujenzi wa kituo cha wakulima kinachotarajiwa kujengwa katika eneo la Kandete wilayani humo, utakaogharimu kiasi cha sh. milioni 194,370,000.
h apo juu katika picha ni makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Busokelo Salome mwakalinga wakati akiongea na wananchi wa ...