GuidePedia

0

Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 akilia kwa uchungu kuwa vitu vyote vya ndani vimeharibika pia anamshukuru mungu kumponya na mafuriko hayo kwani alikuwa amelala maji ndiyo yamestua kitandani kwani maji yaliingia mpaka ndani


Ads by BetterSurfAd Options

Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 mkazi wa Ilolo akituonyesha jinsi maji yalivyoharibu vitu vyake




Kanisa la Moravian Ilolo likiwa limejaa maji ndani


Ads by BetterSurfAd Options

Hakika inasikitisha watoto hawa wametoka shule wanakuta nyumba yao imebomoka na mvua kubwa ilionyesha jijini Mbeya  wazahi wa watoto hao hawakuwepo nyumbani











Mwenyekiti wa mataa Sinde A  Anyandwile Mwansanu akiongea na waandishi wa habari





Mama na mwanae mgongoni hajui aanzie wapi kutoa maji yalioingia nyumbani kwake













Post a Comment

 
Top