WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zitakazonufaika katika masuala ya uwekezaji nchini endapo itatekeleza...
POLISI WAONYA WANAOJICHUKULIA SHERIA MKONONI
Kufuatia kuwepo kwa vitendo vya kujichukulia sheria mkononi kunakosababishwa na imani za kishirikina, Jeshi la Polisi Nchini limeweka mkak...
WATAALAMU KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAENDELEA KUWAPIGA MSASA WACHIMBAJI WADOGO JUU YA UCHIMBAJI BORA WA MADINI HUKO TUNDURU, RUVUMA
Kamishna Msaidizi- Uendelezaji wa Uchimbaji Mdogo, Mhandisi Fredy Mahobe kutoka Wizara ya Nishati na Madini akifafanua taratibu za kupata...
WAZIRI MKUU WA FINLAND ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA) KEMPASI YA VUGA
Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Rashid Seif Suleiman akimkaribisha Waziri Mkuu wa Finland Jyrk...
TBL YAPONGEZWA KWA KUJENGA MRADI WA MAJI KITUO CHA AFYA TUNDUMA.
Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia ya TBL, Doris Malulu, wa pili toka mwisho wakati akikagua mradi wa uchimbaji wa Kisima cha Maji u...
SHIRIKA la IMARISHA LINALOFADHILIWA NA WATU WA MAREKANI LIMETOA MSAADA WA VYOMBO VYA KISASA KWA KIKUNDI CHA HUDUMA MAJUMBANI MKOANI MBEYA.
Mkurugenzi wa Mradi wa Imarisha na Kihukbe, Ptolemy Samweli, alisema walilazimika kuomba msaada wa vifaa hivyo baada ya kufanya utafit...
MWENYEKITI WAKAMATI YA AFYA KIJIJI CHA MALANGALI WILAYA YA CHUNYA AJIUZULU.
Mwenyekiti wa kamati ya Afya kijiji cha Malangali Kata ya Totowe wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya Ahmed Ndauka amejiuzuru kufuatia Kamat...
WANAFUNZI 600 KUFUNDISHWA NA WAALIMU 4.
WANANCHI wa kijiji cha Lema kata ya Busale wilayani Kyela mkoani Mbeya wameilalamikia Idara ya elimu iliyochini ya Halmashauri ya wilaya hi...
ASKARI WANNE WAFIKISHWA MAHAKANI KWA KOSA LA MAUAJI
Askari wanne wa kikosi cha 44 KJ cha Jeshi la Wananchi kilichopo Mbalizi Mkoani Mbeya wamesomewa maelezo ya mashahidi 13 dhidi ya kesi ya m...
WATUHUMIWA WATANO WA UJAMBAZI MAHAKAMANI
SHAHIDI wa tatu katika Kesi inayowakabili Maaskari wawili na Raia watatu ya unyang’anyi wa kutumia Siraha, Pasupuret Sreedhar ambaye ni rai...
Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Paskalia Adrofu [37]mkazi wa kijiji cha Magamba kata ya Magamba wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya,amejifungua salama watoto watatu hivi karibuni.
Huyu ndiyo mwanamke aliyejifungua watoto watatu huko wilayani chunya mkoani mbeya. .......................................................