WAZEE WA KIKUNDI CHA CCM MKOA WA MBEYA WAKEMEA NA KULAANI VIKALI VITENDO VYA BAADHI YA WABUNGE KUTOA LUGHA YA MATUSI NA KUWAKEJELI WAASISI WA TAIFA HILI WAKATI WAKIWA KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBU
Mwenyekiti wa kikundi cha wazee wa chama cha Mapinduzi mkoa wa Mbeya Isakwisa Stantony Mwambyulukutu akisoma tamko lao kikundi hicho ...