GuidePedia

0


Mtu mmoja dereva wa pikipiki (bodaboda) anayefahmika kwa jina la Shija John Mwambenja  ameuawa na watu wasiyefahamika maeneo ya Iyela jijini Mbeya.

Taarifa zinasema kuwa marehemu siku ya jumanne usiku alikodiwa na abiria kutoka katika kituo chake kuelekea maeneo ulikokutwa mwili wake, hivyo siku ya jumatano marehemu akuonekana katika kituo chake cha kazi ambapo anakopaki pikipiki yake.

 Mwenyekiti wa chama cha madereva Bodaboda Vicent Mwashoma aliyevaa jaketi jekundu akihojiana na waandishi wa habari kuhusu tukio hilo pembezoni mwa lango la mochwari katika Hospital ya Rufaa jijini Mbeya.
Mwenyekiti wa chama cha madereva Bodaboda jiji Vicent Mwashoma akiwa karibu na lango kuu la mochwari katika Hospital hiyo.
Madereva Bodaboda pamoja na ndugu wa marehemu wakiwa katika Hospital ya Rufaa jijini Mbeya wakizubiri mwili wa marehemu kwaajili ya kwenda kuzika.




Ndugu msomaji wa Blog hii kwa habari zaidi kuhusu tukio hilo endelea kututembelea. 


                           Na, Lumemo blog

Post a Comment

 
Top